Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 24:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Na Daudi akamwambia Yehova, wakati alipomwona yule malaika aliyekuwa akiwapiga na kuwaua watu, ndiyo, akasema: “Tazama, mimi ndiye niliyetenda dhambi, nami ndiye niliyefanya kosa; lakini kondoo+ hawa—wamefanya nini? Tafadhali, acha mkono wako uje juu yangu+ na juu ya nyumba ya baba yangu.”

  • 1 Mambo ya Nyakati 21:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Na Daudi akamwambia Mungu wa kweli: “Je, si mimi niliyesema watu wahesabiwe, na je, si mimi niliyetenda dhambi na bila shaka kufanya ubaya?+ Lakini kondoo hawa,+ wamefanya nini? Tafadhali, Ee Yehova, Mungu wangu, acha mkono wako uje juu yangu na nyumba ya baba yangu; bali si juu ya watu wako,+ kwa kupigwa na tauni.”

  • Zaburi 25:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Atawafanya wapole watembee katika uamuzi wake wa hukumu,+

      Naye atawafundisha wapole njia yake.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki