38 sala yoyote,+ ombi lolote la kutaka kibali+ ambalo huenda likatolewa na mwanadamu au la watu wako wote Israeli,+ kwa sababu wanajua kila mmoja wao pigo la moyo wake mwenyewe,+ nao wanyooshe mikono yao kuelekea nyumba hii,+
38 nao kwa kweli warudi kwako kwa moyo wao wote+ na kwa nafsi yao yote katika nchi ambayo wao ni mateka+ wa wale waliowachukua mateka, nao kwa kweli wasali kuelekea upande wa nchi yao uliyowapa mababu zao na jiji ambalo umelichagua+ na nyumba ambayo nimeijenga kwa ajili ya jina lako;+