2 Mambo ya Nyakati 33:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Naye akaendelea kusali kwake Yeye, hivi kwamba Yeye akakubali kusihiwa+ naye kisha Yeye akasikia ombi lake la kutaka kibali, akamrudisha Yerusalemu kwenye ufalme wake;+ na Manase akapata kujua kwamba Yehova ndiye Mungu wa kweli.+ Zaburi 6:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Yehova mwenyewe atasikia kwelikweli ombi langu la kutaka kibali;+Yehova ataikubali sala yangu.+ Zaburi 119:170 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 170 Ombi langu la kutaka kibali na liingie mbele zako.+Kulingana na neno lako, unikomboe.+
13 Naye akaendelea kusali kwake Yeye, hivi kwamba Yeye akakubali kusihiwa+ naye kisha Yeye akasikia ombi lake la kutaka kibali, akamrudisha Yerusalemu kwenye ufalme wake;+ na Manase akapata kujua kwamba Yehova ndiye Mungu wa kweli.+