Zaburi 78:38 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 38 Lakini alikuwa mwenye rehema;+ akawa akilifunika kosa+ wala hakuharibu.+Na mara nyingi akageuzia mbali hasira yake,+Naye akawa haiamshi ghadhabu yake yote. Zaburi 86:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Kwa maana wewe, Ee Yehova, ni mwema+ na uko tayari kusamehe;+Na fadhili zenye upendo ni nyingi kwa wale wote wanaokuitia.+ Mika 7:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Ni nani aliye Mungu kama wewe,+ anayesamehe kosa na kuuachilia ukosaji+ wa mabaki ya urithi wake?+ Hatashikilia hasira yake milele, kwa maana yeye hupendezwa na fadhili zenye upendo.+
38 Lakini alikuwa mwenye rehema;+ akawa akilifunika kosa+ wala hakuharibu.+Na mara nyingi akageuzia mbali hasira yake,+Naye akawa haiamshi ghadhabu yake yote.
5 Kwa maana wewe, Ee Yehova, ni mwema+ na uko tayari kusamehe;+Na fadhili zenye upendo ni nyingi kwa wale wote wanaokuitia.+
18 Ni nani aliye Mungu kama wewe,+ anayesamehe kosa na kuuachilia ukosaji+ wa mabaki ya urithi wake?+ Hatashikilia hasira yake milele, kwa maana yeye hupendezwa na fadhili zenye upendo.+