2 Ahazi alikuwa na umri wa miaka 20 alipoanza kutawala, naye akatawala katika Yerusalemu miaka 16; naye hakufanya yaliyokuwa sawa machoni pa Yehova, Mungu wake, kama Daudi babu yake.+
28Ahazi+ alikuwa na umri wa miaka 20 alipoanza kutawala, naye akatawala miaka 16 katika Yerusalemu,+ naye hakufanya yaliyokuwa sawa machoni pa Yehova kama Daudi babu yake.+
7Sasa ikawa katika siku za Ahazi+ mwana wa Yothamu mwana wa Uzia, mfalme wa Yuda, kwamba Resini+ mfalme wa Siria na Peka+ mwana wa Remalia, mfalme wa Israeli, walikuja Yerusalemu ili kupiga vita juu yake, naye hakuweza kupiga vita juu yake.+
1Neno la Yehova+ lililomjia Hosea+ mwana wa Beeri katika siku+ za Uzia,+ Yothamu,+ Ahazi,+ na Hezekia,+ wafalme wa Yuda, na katika siku za Yeroboamu+ mwana wa Yoashi,+ mfalme wa Israeli.