Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 28:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Nami nitaifanya haki kuwa kamba ya kupimia+ na uadilifu+ kuwa timazi; na mvua ya mawe+ itafagilia mbali lile kimbilio la uwongo,+ na maji yatafurika mahali pa maficho.+

  • Ezekieli 13:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 “Kwa hiyo hivi ndivyo Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema, ‘Pia nitasababisha mlipuko wa dhoruba ulipuke katika ghadhabu yangu, na katika hasira yangu kutatukia mvua yenye kufurika, na katika ghadhabu kutakuwa na mawe ya mvua kwa ajili ya maangamizi.+

  • Danieli 9:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 “Na baada ya yale majuma 62 Masihi atakatiliwa mbali,+ bila kuwa na chochote kwa ajili yake.+

      “Na watu wa kiongozi anayekuja wataharibu+ jiji na mahali patakatifu.+ Na mwisho wake utakuwa kwa mafuriko. Na mpaka ule mwisho kutakuwa na vita; kilichoamuliwa ni ukiwa.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki