Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yoshua 2:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Tuliposikia hayo, ndipo mioyo yetu ikaanza kuyeyuka,+ wala roho yoyote haijaamka bado ndani ya mtu yeyote kwa sababu yenu,+ kwa kuwa Yehova Mungu wenu ni Mungu juu mbinguni na chini duniani.+

  • Zaburi 22:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Nimemwagwa kama maji,+

      Na mifupa yangu yote imetenganishwa.+

      Moyo wangu umekuwa kama nta;+

      Umeyeyuka ndani katika sehemu zangu za ndani.+

  • Isaya 13:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Ndiyo sababu mikono yote itaanguka, na moyo wote wa mwanadamu anayeweza kufa utayeyuka.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki