Yoshua 2:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Tuliposikia hayo, ndipo mioyo yetu ikaanza kuyeyuka,+ wala roho yoyote haijaamka bado ndani ya mtu yeyote kwa sababu yenu,+ kwa kuwa Yehova Mungu wenu ni Mungu juu mbinguni na chini duniani.+ Zaburi 22:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Nimemwagwa kama maji,+Na mifupa yangu yote imetenganishwa.+Moyo wangu umekuwa kama nta;+Umeyeyuka ndani katika sehemu zangu za ndani.+ Isaya 13:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Ndiyo sababu mikono yote itaanguka, na moyo wote wa mwanadamu anayeweza kufa utayeyuka.+
11 Tuliposikia hayo, ndipo mioyo yetu ikaanza kuyeyuka,+ wala roho yoyote haijaamka bado ndani ya mtu yeyote kwa sababu yenu,+ kwa kuwa Yehova Mungu wenu ni Mungu juu mbinguni na chini duniani.+
14 Nimemwagwa kama maji,+Na mifupa yangu yote imetenganishwa.+Moyo wangu umekuwa kama nta;+Umeyeyuka ndani katika sehemu zangu za ndani.+