-
Sefania 2:15Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
15 Hilo ndilo jiji lenye furaha lililokuwa likikaa kwa usalama,+ ambalo lilikuwa linasema moyoni mwake, ‘Mimi ndiye, wala hakuna mwingine yeyote.’+ Lo! Jinsi amekuwa kitu cha kushangaza, mahali pa wanyama-mwitu kulala wakiwa wamejinyoosha! Kila mtu anayepita kando yake atapiga mluzi; atatikisa mkono wake.”+
-
-
Yuda 7Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
7 Ndivyo pia Sodoma na Gomora na majiji yaliyoyazunguka,+ baada ya hayo kuwa yamefanya uasherati kwa kuzidi mno na kwenda kufuatilia mwili kwa ajili ya matumizi yasiyo ya asili,+ katika namna ileile kama hao waliotangulia kutajwa, yamewekwa mbele yetu kuwa kielelezo cha kuonya+ kwa kupatwa na adhabu ya hukumu ya moto wa milele.+
-