16 Katika siku hiyo Misri itakuwa kama wanawake, nayo hakika itatetemeka+ na kuingiwa na hofu kwa sababu ya kutikiswa kwa mkono wa Yehova wa majeshi ambao anautikisa juu yake.+
30 “Wanaume wenye nguvu wa Babiloni wameacha kupigana. Wameendelea kuketi katika mahali imara. Nguvu zao zimekauka.+ Wamekuwa wanawake.+ Makao yake yamewashwa moto. Mapingo yake yamevunjwa.+