Kutoka 19:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Nao Mlima Sinai ukatoa moshi kila mahali,+ kwa kuwa Yehova alikuwa ameshuka juu yake katika moto;+ na moshi wake ukawa ukipaa kama moshi wa tanuru,+ na mlima wote ulikuwa ukitetemeka sana.+ Zaburi 114:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Milima ilirukaruka kama kondoo-dume,+Vilima kama wana-kondoo.
18 Nao Mlima Sinai ukatoa moshi kila mahali,+ kwa kuwa Yehova alikuwa ameshuka juu yake katika moto;+ na moshi wake ukawa ukipaa kama moshi wa tanuru,+ na mlima wote ulikuwa ukitetemeka sana.+