Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 19:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Nao Mlima Sinai ukatoa moshi kila mahali,+ kwa kuwa Yehova alikuwa ameshuka juu yake katika moto;+ na moshi wake ukawa ukipaa kama moshi wa tanuru,+ na mlima wote ulikuwa ukitetemeka sana.+

  • Kutoka 20:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Sasa watu wote walikuwa wakiona ile mingurumo na miwako ya umeme na sauti ya baragumu na mlima ukitoa moshi. Watu walipoona hilo, ndipo wakatetemeka na kusimama mbali.+

  • Waamuzi 5:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Yehova, ulipotoka Seiri,+

      Ulipopiga mwendo kutoka shamba la Edomu,+

      Dunia ilitikisika,+ mbingu pia zikatiririka maji,+

      Mawingu pia yakatiririka maji.

  • Zaburi 29:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Naye huifanya irukeruke kama ndama,+

      Lebanoni na Sirioni+ kama wana wa ng’ombe-mwitu.

  • Zaburi 68:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Dunia ilitikisika,+

      Nayo mbingu pia ikadondoka maji kwa sababu ya Mungu;+

      Mlima huu Sinai ukatikisika kwa sababu ya Mungu,+ Mungu wa Israeli.+

  • Yeremia 4:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Niliiona milima, na, tazama! ilikuwa ikitikisika, na vilima vyote vilitetemeshwa.+

  • Habakuki 3:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Alisimama tuli, apate kuitikisa dunia.+ Aliona, kisha akayarusha mataifa.+

      Na milima ya milele ikavunjwa;+ vilima vinavyodumu kwa wakati usio na kipimo vikainama.+ Miendo ya zamani za kale ni yake.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki