Zaburi 77:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Maji yamekuona wewe, Ee Mungu,Maji yamekuona wewe; yakaanza kuwa na maumivu makali.+Pia, vilindi vya maji vikaanza kutetemeka.+ Zaburi 93:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Mito imepaaza, Ee Yehova,Mito imepaaza sauti yake;+Mito inaendelea kupaaza mivumo yake.+ Zaburi 98:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Bahari na ingurume na vyote vinavyoijaza,+Nchi yenye kuzaa na wanaokaa humo.+
16 Maji yamekuona wewe, Ee Mungu,Maji yamekuona wewe; yakaanza kuwa na maumivu makali.+Pia, vilindi vya maji vikaanza kutetemeka.+