34 “Pigeni mayowe, ninyi wachungaji, na mpaaze kilio!+ Na mgaegae,+ ninyi watu mashuhuri wa kundi,+ kwa sababu siku za kuchinjwa kwenu na za kutawanywa kwenu zimetimia,+ nanyi mtaanguka kama chombo kinachotamanika!+
5 “Amkeni, ninyi walevi,+ lieni; pigeni mayowe,+ ninyi nyote wanywaji wa divai, kwa sababu ya divai tamu,+ kwa maana imekatiliwa mbali kutoka katika vinywa vyenu.+