Yeremia 36:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 “Chukua kitabu cha kukunjwa,+ uandike ndani yake maneno+ yote ambayo nimekuambia juu ya Israeli na juu ya Yuda+ na juu ya mataifa yote,+ tangu siku niliyosema nawe, tangu siku za Yosia, mpaka leo hii.+ Ezekieli 2:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Nami nikaanza kuona, na, tazama! kulikuwa na mkono ulionyooshwa kunielekea,+ na, tazama! kitabu cha kukunjwa kilikuwa ndani yake.+
2 “Chukua kitabu cha kukunjwa,+ uandike ndani yake maneno+ yote ambayo nimekuambia juu ya Israeli na juu ya Yuda+ na juu ya mataifa yote,+ tangu siku niliyosema nawe, tangu siku za Yosia, mpaka leo hii.+
9 Nami nikaanza kuona, na, tazama! kulikuwa na mkono ulionyooshwa kunielekea,+ na, tazama! kitabu cha kukunjwa kilikuwa ndani yake.+