Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 10:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Nao mwanzo wa ufalme wake ukawa Babeli+ na Ereki+ na Akadi na Kalne, katika nchi ya Shinari.+

  • Mwanzo 11:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Mwishowe ikawa kwamba walipokuwa wakisafiri kuelekea mashariki, waligundua nchi tambarare ya bondeni katika nchi ya Shinari,+ nao wakakaa huko.

  • Isaya 11:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Na itatukia katika siku hiyo kwamba Yehova atatoa tena mkono wake, mara ya pili,+ ili kuchukua mabaki ya watu wake watakaobaki kutoka Ashuru+ na kutoka Misri+ na kutoka Pathrosi+ na kutoka Kushi+ na kutoka Elamu+ na kutoka Shinari+ na kutoka Hamathi na kutoka visiwa vya bahari.+

  • Danieli 1:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Baada ya muda Yehova akamtia Yehoyakimu mfalme wa Yuda+ mkononi mwake, pamoja na sehemu ya vyombo+ vya nyumba ya Mungu wa kweli, naye akavileta katika nchi ya Shinari+ nyumbani kwa mungu wake; akaleta vyombo hivyo kwenye nyumba ya hazina ya mungu wake.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki