19 Katika nyika nitaweka mwerezi, mshita na mhadasi na mfuta.+ Nitaweka mberoshi katika nchi tambarare ya chini ya jangwani, mtidhari na mvinje wakati uleule;+
13 Badala ya kichaka cha miiba mberoshi utatokea.+ Badala ya upupu wenye kuwasha mhadasi utatokea.+ Na litakuwa jambo lenye sifa kwa Yehova,+ ishara mpaka wakati usio na kipimo+ ambayo haitakatiliwa mbali.”