Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 12:38
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 38 Na jamii kubwa iliyochangamana+ pia ikaenda pamoja nao, na makundi na mifugo vilevile, kundi la wanyama wengi sana.

  • Hesabu 10:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Ndipo Musa akamwambia Hobabu mwana wa Reueli+ Mmidiani, baba-mkwe wa Musa: “Tunaondoka kwenda mahali ambapo Yehova alisema, ‘Nitawapa ninyi.’+ Nenda pamoja nasi, nasi hakika tutakutendea mema,+ kwa sababu Yehova amesema mema juu ya Israeli.”+

  • Ruthu 1:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Naye Ruthu akasema: “Usiniombe nikuache, nigeuke nisifuatane nawe; kwa maana uendako nitaenda, na mahali utakapokaa usiku kucha nitakaa.+ Watu wako watakuwa watu wangu,+ na Mungu wako Mungu wangu.+

  • Matendo 13:47
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 47 Kwa kweli, Yehova ameweka amri juu yetu kwa maneno haya, ‘Nimewaweka ninyi kuwa nuru ya mataifa,+ ili muwe wokovu mpaka sehemu ya mwisho ya dunia.’ ”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki