-
1 Wafalme 13:4Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
4 Na ikawa kwamba mara tu mfalme aliposikia neno la yule mtu wa Mungu wa kweli alilokuwa ametangaza juu ya ile madhabahu katika Betheli, mara moja Yeroboamu akanyoosha mkono wake kutoka katika madhabahu, akisema: “Mkamateni!”+ Mara moja mkono wake aliomnyooshea ukapooza, naye hakuweza kuurudisha nyuma kwake.+
-