Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 13:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Na ikawa kwamba mara tu mfalme aliposikia neno la yule mtu wa Mungu wa kweli alilokuwa ametangaza juu ya ile madhabahu katika Betheli, mara moja Yeroboamu akanyoosha mkono wake kutoka katika madhabahu, akisema: “Mkamateni!”+ Mara moja mkono wake aliomnyooshea ukapooza, naye hakuweza kuurudisha nyuma kwake.+

  • Ezekieli 30:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 “Kwa hiyo Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema hivi, ‘Tazama, mimi niko dhidi ya Farao mfalme wa Misri,+ nami nitaivunja mikono yake,+ ule wenye nguvu na ule uliovunjika,+ nami nitaufanya upanga uanguke kutoka mkononi mwake.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki