Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 19:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Naye kuhani atayafua mavazi yake na kuoga mwili wake katika maji, na baadaye anaweza kuingia kambini; lakini yule kuhani atakuwa si safi mpaka jioni.

  • Hesabu 19:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 “‘Nayo itatumika kama sheria mpaka wakati usio na kipimo kwa ajili yao, kwamba yule anayetapanya maji kwa ajili ya kutakasa anapaswa kuyafua mavazi yake,+ pia yule anayegusa maji ya kutakasa. Atakuwa asiye safi mpaka jioni.

  • Hagai 2:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Basi Hagai akajibu na kusema: “ ‘Hivyo ndivyo kikundi hiki cha watu kilivyo, na hivyo ndivyo taifa hili lilivyo mbele zangu,’+ asema Yehova, ‘na hivyo ndivyo kazi yote ya mikono yao ilivyo, na chochote wanachotoa huko, ni najisi.’+

  • Ufunuo 3:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 “ ‘Hata hivyo, una majina+ machache katika Sardi ambayo hayakutia unajisi+ mavazi yao ya nje, nao watatembea pamoja nami wakiwa na mavazi meupe,+ kwa sababu wanastahili.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki