Mathayo 7:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Basi wakati Yesu alipomaliza kusema maneno hayo, umati ukashangazwa+ na njia yake ya kufundisha; Marko 11:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Na wakuu wa makuhani na waandishi wakasikia, nao wakaanza kutafuta jinsi ya kumwangamiza;+ kwa maana walikuwa wakimwogopa, kwa maana umati wote sikuzote ulikuwa ukistaajabishwa na mafundisho yake.+
18 Na wakuu wa makuhani na waandishi wakasikia, nao wakaanza kutafuta jinsi ya kumwangamiza;+ kwa maana walikuwa wakimwogopa, kwa maana umati wote sikuzote ulikuwa ukistaajabishwa na mafundisho yake.+