1 Wafalme 8:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Nimefanikiwa kukujengea nyumba ya makao yaliyoinuliwa,+ mahali palipofanywa imara+ ili ukae humo mpaka wakati usio na kipimo.”+ Zaburi 11:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Yehova yumo katika hekalu lake takatifu.+Yehova—kiti chake cha ufalme kiko mbinguni.+Macho yake yanaangalia, macho yake yanayong’aa yanawachunguza+ wana wa binadamu. Zaburi 26:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Yehova, nimependa makao ya nyumba yako+Na mahali ambapo utukufu wako hukaa.+ Zaburi 132:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 “Hapa ndipo mahali pangu pa kupumzika milele;+Nitakaa hapa, kwa maana nimepatamani.+
13 Nimefanikiwa kukujengea nyumba ya makao yaliyoinuliwa,+ mahali palipofanywa imara+ ili ukae humo mpaka wakati usio na kipimo.”+
4 Yehova yumo katika hekalu lake takatifu.+Yehova—kiti chake cha ufalme kiko mbinguni.+Macho yake yanaangalia, macho yake yanayong’aa yanawachunguza+ wana wa binadamu.