Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 16:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Kwa maana mtu atapata faida gani akiupata ulimwengu wote lakini aipoteze nafsi yake?+ au mtu atatoa nini ili aipate+ nafsi yake?

  • Luka 4:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Kwa hiyo akamleta juu na kumwonyesha mara moja falme zote za dunia inayokaliwa;

  • 1 Yohana 2:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 kwa sababu kila kitu kilicho katika ulimwengu+—tamaa ya mwili+ na tamaa ya macho+ na mtu kujionyesha mali yake maishani+—hakitokani na Baba, bali hutokana na ulimwengu.+

  • Ufunuo 11:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Na malaika wa saba akaipiga tarumbeta yake.+ Na sauti kubwa zikatokea mbinguni, zikisema: “Ufalme wa ulimwengu umekuwa ufalme wa Bwana+ wetu na wa Kristo+ wake, naye atatawala akiwa mfalme milele na milele.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki