Ezekieli 18:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 wala hakumtendea vibaya mtu yeyote;+ rehani aliyotwaa kwa ajili ya deni, alikuwa akiirudisha;+ hakuwa akinyakua chochote kwa unyang’anyi;+ mkate wake mwenyewe alikuwa akimpa mwenye njaa+ na alikuwa akimvika vazi aliye uchi;+ Yakobo 2:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Ikiwa ndugu au dada yuko uchi naye hana chakula cha kutosha kwa ajili ya siku,+
7 wala hakumtendea vibaya mtu yeyote;+ rehani aliyotwaa kwa ajili ya deni, alikuwa akiirudisha;+ hakuwa akinyakua chochote kwa unyang’anyi;+ mkate wake mwenyewe alikuwa akimpa mwenye njaa+ na alikuwa akimvika vazi aliye uchi;+