Mathayo 16:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Kwa maana yeyote yule anayetaka kuiokoa nafsi yake ataipoteza; lakini yeyote yule anayeipoteza nafsi yake kwa ajili yangu ataipata.+ Marko 8:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Kwa maana yeyote yule anayetaka kuiokoa nafsi yake ataipoteza; lakini yeyote yule anayeipoteza nafsi yake kwa ajili yangu na kwa ajili ya habari njema ataiokoa.+ Luka 17:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Yeyote yule anayetafuta kuitunza nafsi yake kwa ajili yake mwenyewe ataipoteza, lakini yeyote yule anayeipoteza ataihifadhi hai.+ Yohana 12:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Yule anayeipenda sana nafsi yake huiangamiza, lakini yule anayeichukia nafsi+ yake katika ulimwengu huu atailinda kwa ajili ya uzima wa milele.+
25 Kwa maana yeyote yule anayetaka kuiokoa nafsi yake ataipoteza; lakini yeyote yule anayeipoteza nafsi yake kwa ajili yangu ataipata.+
35 Kwa maana yeyote yule anayetaka kuiokoa nafsi yake ataipoteza; lakini yeyote yule anayeipoteza nafsi yake kwa ajili yangu na kwa ajili ya habari njema ataiokoa.+
33 Yeyote yule anayetafuta kuitunza nafsi yake kwa ajili yake mwenyewe ataipoteza, lakini yeyote yule anayeipoteza ataihifadhi hai.+
25 Yule anayeipenda sana nafsi yake huiangamiza, lakini yule anayeichukia nafsi+ yake katika ulimwengu huu atailinda kwa ajili ya uzima wa milele.+