Mathayo 10:39 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 39 Yeye anayeipata nafsi yake ataipoteza, naye anayeipoteza nafsi yake kwa ajili yangu ataipata.+ Mathayo 16:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Kwa maana yeyote yule anayetaka kuiokoa nafsi yake ataipoteza; lakini yeyote yule anayeipoteza nafsi yake kwa ajili yangu ataipata.+ Luka 9:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Kwa maana yeyote yule anayetaka kuiokoa nafsi yake ataipoteza; lakini yeyote yule anayeipoteza nafsi yake kwa ajili yangu ndiye atakayeiokoa.+ Yohana 12:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Yule anayeipenda sana nafsi yake huiangamiza, lakini yule anayeichukia nafsi+ yake katika ulimwengu huu atailinda kwa ajili ya uzima wa milele.+ Ufunuo 12:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Nao wakamshinda+ kwa sababu ya damu ya Mwana-Kondoo+ na kwa sababu ya neno la kutoa kwao ushahidi,+ nao hawakupenda nafsi+ zao hata walipokabili kifo.
25 Kwa maana yeyote yule anayetaka kuiokoa nafsi yake ataipoteza; lakini yeyote yule anayeipoteza nafsi yake kwa ajili yangu ataipata.+
24 Kwa maana yeyote yule anayetaka kuiokoa nafsi yake ataipoteza; lakini yeyote yule anayeipoteza nafsi yake kwa ajili yangu ndiye atakayeiokoa.+
25 Yule anayeipenda sana nafsi yake huiangamiza, lakini yule anayeichukia nafsi+ yake katika ulimwengu huu atailinda kwa ajili ya uzima wa milele.+
11 Nao wakamshinda+ kwa sababu ya damu ya Mwana-Kondoo+ na kwa sababu ya neno la kutoa kwao ushahidi,+ nao hawakupenda nafsi+ zao hata walipokabili kifo.