Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 16:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Kwa maana yeyote yule anayetaka kuiokoa nafsi yake ataipoteza; lakini yeyote yule anayeipoteza nafsi yake kwa ajili yangu ataipata.+

  • Marko 8:35
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 35 Kwa maana yeyote yule anayetaka kuiokoa nafsi yake ataipoteza; lakini yeyote yule anayeipoteza nafsi yake kwa ajili yangu na kwa ajili ya habari njema ataiokoa.+

  • Yohana 12:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Yule anayeipenda sana nafsi yake huiangamiza, lakini yule anayeichukia nafsi+ yake katika ulimwengu huu atailinda kwa ajili ya uzima wa milele.+

  • Matendo 20:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Hata hivyo, siifanyi nafsi yangu kuwa kitu chenye thamani sana kwangu,+ kama tu ningepata kumaliza mwendo+ wangu na huduma+ niliyopokea+ kutoka kwa Bwana Yesu, kutoa ushahidi kamili kuhusu habari njema ya fadhili zisizostahiliwa za Mungu.+

  • Ufunuo 2:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Usiogope mateso ambayo yanakaribia kukupata.+ Tazama! Ibilisi+ ataendelea kuwatupa gerezani baadhi yenu ili mjaribiwe kwa ukamili,+ na ili muwe na dhiki+ siku kumi. Uwe mwaminifu hata kufikia kifo,+ nami nitakupa taji la uzima.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki