Mathayo 10:39 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 39 Yeye anayeipata nafsi yake ataipoteza, naye anayeipoteza nafsi yake kwa ajili yangu ataipata.+ Mathayo 16:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Kwa maana yeyote yule anayetaka kuiokoa nafsi yake ataipoteza; lakini yeyote yule anayeipoteza nafsi yake kwa ajili yangu ataipata.+ Marko 8:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Kwa maana yeyote yule anayetaka kuiokoa nafsi yake ataipoteza; lakini yeyote yule anayeipoteza nafsi yake kwa ajili yangu na kwa ajili ya habari njema ataiokoa.+ Luka 9:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Kwa maana yeyote yule anayetaka kuiokoa nafsi yake ataipoteza; lakini yeyote yule anayeipoteza nafsi yake kwa ajili yangu ndiye atakayeiokoa.+ Yohana 12:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Yule anayeipenda sana nafsi yake huiangamiza, lakini yule anayeichukia nafsi+ yake katika ulimwengu huu atailinda kwa ajili ya uzima wa milele.+
25 Kwa maana yeyote yule anayetaka kuiokoa nafsi yake ataipoteza; lakini yeyote yule anayeipoteza nafsi yake kwa ajili yangu ataipata.+
35 Kwa maana yeyote yule anayetaka kuiokoa nafsi yake ataipoteza; lakini yeyote yule anayeipoteza nafsi yake kwa ajili yangu na kwa ajili ya habari njema ataiokoa.+
24 Kwa maana yeyote yule anayetaka kuiokoa nafsi yake ataipoteza; lakini yeyote yule anayeipoteza nafsi yake kwa ajili yangu ndiye atakayeiokoa.+
25 Yule anayeipenda sana nafsi yake huiangamiza, lakini yule anayeichukia nafsi+ yake katika ulimwengu huu atailinda kwa ajili ya uzima wa milele.+