15 Hakuna kitu chochote kutoka nje ya mtu kinachoingia ndani yake ambacho kinaweza kumtia unajisi; bali mambo yanayotoka ndani ya mtu ndiyo mambo yanayomtia mtu unajisi.”+
29 Neno lililooza na lisitoke kinywani mwenu,+ bali neno lolote ambalo ni jema kwa ajili ya kujenga kulingana na uhitaji, ili liwape wasikiaji lile linalofaa.+
6 Basi, ulimi ni moto.+ Ulimi ni ulimwengu wa ukosefu wa uadilifu kati ya viungo vyetu, kwa maana huutia doa mwili+ wote na kuuwasha moto mzunguko wa uhai wa asili nao huwashwa moto na Gehena.*