Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 12:34
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 34 Uzao wa nyoka-vipiri,+ mnawezaje kusema mambo mema, wakati ninyi ni waovu?+ Kwa maana kinywa kinasema kutokana na mambo yaliyojaa katika moyo.+

  • Marko 7:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Hakuna kitu chochote kutoka nje ya mtu kinachoingia ndani yake ambacho kinaweza kumtia unajisi; bali mambo yanayotoka ndani ya mtu ndiyo mambo yanayomtia mtu unajisi.”+

  • Waefeso 4:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Neno lililooza na lisitoke kinywani mwenu,+ bali neno lolote ambalo ni jema kwa ajili ya kujenga kulingana na uhitaji, ili liwape wasikiaji lile linalofaa.+

  • 1 Timotheo 4:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Sababu ya hili ni kwamba kila kiumbe cha Mungu ni kizuri,+ na hakuna kitu kinachopaswa kukataliwa+ kama kinapokewa kwa kutoa shukrani,+

  • Yakobo 3:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Basi, ulimi ni moto.+ Ulimi ni ulimwengu wa ukosefu wa uadilifu kati ya viungo vyetu, kwa maana huutia doa mwili+ wote na kuuwasha moto mzunguko wa uhai wa asili nao huwashwa moto na Gehena.*

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki