Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 15:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Mtu hatiwi unajisi na kile kinachoingia ndani ya kinywa chake; bali kinachotoka katika kinywa chake ndicho humtia unajisi.”+

  • Matendo 10:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Lakini Petro akasema: “Sivyo hata kidogo, Bwana, kwa sababu sijakula kamwe kitu chochote kilichotiwa unajisi na kisicho safi.”+

  • 1 Wakorintho 8:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Lakini chakula hakitatupendekeza kwa Mungu;+ tukikosa kula, hatupungukiwi, na, tukila, hatupati sifa kwetu wenyewe.+

  • 1 Timotheo 4:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Sababu ya hili ni kwamba kila kiumbe cha Mungu ni kizuri,+ na hakuna kitu kinachopaswa kukataliwa+ kama kinapokewa kwa kutoa shukrani,+

  • Tito 1:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Vitu vyote ni safi kwa watu safi.+ Lakini kwa watu waliotiwa unajisi+ na wasio na imani+ hakuna kitu chochote kilicho safi, bali akili zao na pia dhamiri+ zao zimetiwa unajisi.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki