Mathayo 15:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Mtu hatiwi unajisi na kile kinachoingia ndani ya kinywa chake; bali kinachotoka katika kinywa chake ndicho humtia unajisi.”+ Matendo 10:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Lakini Petro akasema: “Sivyo hata kidogo, Bwana, kwa sababu sijakula kamwe kitu chochote kilichotiwa unajisi na kisicho safi.”+ 1 Wakorintho 8:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Lakini chakula hakitatupendekeza kwa Mungu;+ tukikosa kula, hatupungukiwi, na, tukila, hatupati sifa kwetu wenyewe.+ 1 Timotheo 4:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Sababu ya hili ni kwamba kila kiumbe cha Mungu ni kizuri,+ na hakuna kitu kinachopaswa kukataliwa+ kama kinapokewa kwa kutoa shukrani,+ Tito 1:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Vitu vyote ni safi kwa watu safi.+ Lakini kwa watu waliotiwa unajisi+ na wasio na imani+ hakuna kitu chochote kilicho safi, bali akili zao na pia dhamiri+ zao zimetiwa unajisi.
11 Mtu hatiwi unajisi na kile kinachoingia ndani ya kinywa chake; bali kinachotoka katika kinywa chake ndicho humtia unajisi.”+
14 Lakini Petro akasema: “Sivyo hata kidogo, Bwana, kwa sababu sijakula kamwe kitu chochote kilichotiwa unajisi na kisicho safi.”+
8 Lakini chakula hakitatupendekeza kwa Mungu;+ tukikosa kula, hatupungukiwi, na, tukila, hatupati sifa kwetu wenyewe.+
4 Sababu ya hili ni kwamba kila kiumbe cha Mungu ni kizuri,+ na hakuna kitu kinachopaswa kukataliwa+ kama kinapokewa kwa kutoa shukrani,+
15 Vitu vyote ni safi kwa watu safi.+ Lakini kwa watu waliotiwa unajisi+ na wasio na imani+ hakuna kitu chochote kilicho safi, bali akili zao na pia dhamiri+ zao zimetiwa unajisi.