Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 2:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 “‘Hakuna toleo lolote la nafaka ambalo mtamtolea Yehova litakalofanywa kuwa kitu kilichotiwa chachu,+ kwa sababu hamtafukiza unga wowote uliokandwa wenye chachu wala asali yoyote, kuwa toleo linalotolewa kwa Yehova kwa njia ya moto.

  • Mambo ya Walawi 6:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Hautaokwa pamoja na kitu chochote kilichotiwa chachu.+ Nimeutoa uwe fungu lao kutoka katika matoleo yangu yanayotolewa kwa njia ya moto.+ Ni kitu kitakatifu zaidi,+ kama lile toleo la dhambi na kama lile toleo la hatia.

  • Marko 8:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Ndipo akawaambia: “Je, bado hamjapata maana?”+

  • Luka 12:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Wakati huohuo, umati walipokuwa wamekusanyika pamoja kwa maelfu mengi sana hivi kwamba walikuwa wakikanyagana, akaanza kwa kuwaambia kwanza wanafunzi wake: “Jihadharini na chachu+ ya Mafarisayo, ambayo ni unafiki.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki