Mambo ya Walawi 19:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 “‘Usilipize kisasi+ wala usiwe na kinyongo juu ya wana wa watu wako;+ nawe mpende mwenzako kama wewe mwenyewe.+ Mimi ni Yehova. Mathayo 22:39 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 39 Ya pili, kama hiyo, ni hii, ‘Mpende jirani yako kama wewe mwenyewe.’+ Marko 12:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Ya pili ni hii, ‘Mpende jirani yako kama wewe mwenyewe.’+ Hakuna amri nyingine yoyote iliyo kubwa zaidi kuliko hizi.” Luka 10:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Akajibu, akasema: “ ‘Lazima umpende Yehova Mungu wako kwa moyo wako wote na kwa nafsi yako yote na kwa nguvu zako zote na kwa akili+ yako yote,’ na, ‘jirani yako kama wewe mwenyewe.’ ”+
18 “‘Usilipize kisasi+ wala usiwe na kinyongo juu ya wana wa watu wako;+ nawe mpende mwenzako kama wewe mwenyewe.+ Mimi ni Yehova.
31 Ya pili ni hii, ‘Mpende jirani yako kama wewe mwenyewe.’+ Hakuna amri nyingine yoyote iliyo kubwa zaidi kuliko hizi.”
27 Akajibu, akasema: “ ‘Lazima umpende Yehova Mungu wako kwa moyo wako wote na kwa nafsi yako yote na kwa nguvu zako zote na kwa akili+ yako yote,’ na, ‘jirani yako kama wewe mwenyewe.’ ”+