Mathayo 27:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Kwa maana alijua kwamba walikuwa wamemtia mikononi mwake+ kwa sababu ya wivu.+ Marko 12:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Kwa hiyo wakamchukua wakamuua,+ na kumtupa nje ya shamba la mizabibu.+ Matendo 2:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 mwanamume huyu, kama aliyetolewa kwa shauri lililoamuliwa na kwa ujuzi wa kimbele wa Mungu,+ mlimfunga kwenye mti kwa mkono wa waasi-sheria na kumwondolea mbali.+ Matendo 3:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 lakini mlimuua Wakili Mkuu wa uzima.+ Lakini Mungu alimfufua kutoka kwa wafu, uhakika ambao sisi ni mashahidi+ wake. Waebrania 13:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Kwa hiyo Yesu pia, ili apate kuwatakasa+ watu kwa damu+ yake mwenyewe, aliteseka nje ya lango.+
23 mwanamume huyu, kama aliyetolewa kwa shauri lililoamuliwa na kwa ujuzi wa kimbele wa Mungu,+ mlimfunga kwenye mti kwa mkono wa waasi-sheria na kumwondolea mbali.+
15 lakini mlimuua Wakili Mkuu wa uzima.+ Lakini Mungu alimfufua kutoka kwa wafu, uhakika ambao sisi ni mashahidi+ wake.