32 Basi akawaambia: “Nendeni!” Wakatoka na kwenda zao, wakaingia ndani ya wale nguruwe; na, tazama! kundi zima likatimua mbio, likaruka poromoko, likaingia baharini na kufa majini.+
33 Ndipo hao roho waovu wakamtoka mtu huyo na kuingia ndani ya wale nguruwe, na lile kundi likatimua mbio, likaruka poromoko, likaingia katika ziwa na kufa maji.+