Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 24:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Ndipo ishara ya Mwana wa binadamu+ itakapoonekana mbinguni, ndipo makabila yote ya dunia yatakapojipiga-piga yenyewe kwa kuomboleza,+ nayo yatamwona Mwana wa binadamu akija juu ya mawingu ya mbinguni akiwa na nguvu na utukufu mwingi.+

  • Marko 13:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Ndipo watakapomwona Mwana wa binadamu+ akija katika mawingu akiwa na nguvu nyingi na utukufu.+

  • 1 Wakorintho 1:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 ili kwamba msipungukiwe katika zawadi+ yoyote hata kidogo, huku mkiungojea kwa hamu ufunuo+ wa Bwana wetu Yesu Kristo.

  • Wakolosai 3:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Wakati Kristo, aliye uhai wetu,+ atakapofunuliwa, ndipo ninyi pia mtakapofunuliwa+ pamoja naye katika utukufu.+

  • 2 Wathesalonike 1:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 lakini, kwenu ninyi mnaopata dhiki, kitulizo pamoja nasi wakati wa ufunuo+ wa Bwana Yesu kutoka mbinguni pamoja na malaika zake wenye nguvu+

  • 2 Wathesalonike 2:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Ndipo, kwa kweli, yule mwasi-sheria atafunuliwa, ambaye Bwana Yesu atamwangamiza kwa roho ya kinywa+ chake na kumfanya kuwa si kitu kwa ufunuo+ wa kuwapo kwake.+

  • Ufunuo 1:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Tazama! Anakuja na mawingu,+ na kila jicho litamwona,+ na wale waliomchoma;+ na makabila yote ya dunia yatajipiga-piga kwa huzuni kwa sababu yake.+ Ndiyo, Amina.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki