5 Alipokuwa bado akisema, tazama! wingu jangavu liliwafunika, na, tazama! kulikuwa na sauti kutoka katika lile wingu, ikisema: “Huyu ni Mwanangu, mpendwa, ambaye nimemkubali;+ msikilizeni.”+
16 “Kwa maana Mungu aliupenda+ ulimwengu sana hivi kwamba akamtoa Mwana wake mzaliwa-pekee,+ ili kila mtu anayemwamini+ asiangamizwe+ bali awe na uzima wa milele.+