16 Kikombe+ cha baraka ambacho tunabariki, je, hicho si kushiriki katika damu ya Kristo? Ule mkate ambao tunamega,+ je, huo si kushiriki katika mwili wa Kristo?+
25 Akafanya vivyo hivyo kuhusu kile kikombe+ pia, baada ya yeye kula mlo wa jioni, akisema: “Kikombe hiki kinamaanisha agano jipya+ kwa msingi wa damu+ yangu. Endeleeni kufanya hivi, kila mara mnapokinywa, kwa kunikumbuka+ mimi.”