Luka 19:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Lakini Zakayo akasimama na kumwambia Bwana: “Tazama! Nusu ya mali zangu, Bwana, mimi nitawapa maskini, na chochote nilichomnyang’anya mtu yeyote kwa shtaka la uwongo+ nitarudisha mara nne.”+ 1 Wakorintho 6:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 wala wezi, wala watu wenye pupa,+ wala walevi,+ wala watukanaji, wala wanyang’anyi hawataurithi ufalme wa Mungu.+
8 Lakini Zakayo akasimama na kumwambia Bwana: “Tazama! Nusu ya mali zangu, Bwana, mimi nitawapa maskini, na chochote nilichomnyang’anya mtu yeyote kwa shtaka la uwongo+ nitarudisha mara nne.”+
10 wala wezi, wala watu wenye pupa,+ wala walevi,+ wala watukanaji, wala wanyang’anyi hawataurithi ufalme wa Mungu.+