Mwanzo 25:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Na baadaye ndugu yake akatoka na mkono wake ulikuwa unashikilia kisigino cha Esau;+ kwa hiyo akaitwa jina lake Yakobo.+ Na Isaka alikuwa na umri wa miaka 60 wakati Rebeka alipowazaa. 1 Mambo ya Nyakati 2:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Hawa ndio waliokuwa wana wa Israeli:+ Rubeni,+ Simeoni,+ Lawi+ na Yuda,+ Isakari+ na Zabuloni,+
26 Na baadaye ndugu yake akatoka na mkono wake ulikuwa unashikilia kisigino cha Esau;+ kwa hiyo akaitwa jina lake Yakobo.+ Na Isaka alikuwa na umri wa miaka 60 wakati Rebeka alipowazaa.