3 Alidharauliwa na kuepukwa na wanadamu,+ mtu aliyekusudiwa maumivu na kuzoeana na ugonjwa.+ Na ilikuwa kana kwamba uso ulifichwa kutoka kwetu.+ Alidharauliwa, nasi tulimhesabu kuwa asiye na maana.+
21 Basi waandishi na Mafarisayo wakaanza kujadiliana, wakisema: “Ni nani huyu anayesema makufuru?+ Ni nani anayeweza kusamehe dhambi ila Mungu peke yake?”+