Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 53:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Alidharauliwa na kuepukwa na wanadamu,+ mtu aliyekusudiwa maumivu na kuzoeana na ugonjwa.+ Na ilikuwa kana kwamba uso ulifichwa kutoka kwetu.+ Alidharauliwa, nasi tulimhesabu kuwa asiye na maana.+

  • Mathayo 9:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Na, tazama! baadhi ya waandishi wakaambiana wao kwa wao: “Mtu huyu anakufuru.”+

  • Marko 2:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 “Kwa nini mtu huyu anaongea namna hii? Anakufuru. Nani anayeweza kusamehe dhambi ila mmoja, Mungu?”+

  • Luka 5:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Basi waandishi na Mafarisayo wakaanza kujadiliana, wakisema: “Ni nani huyu anayesema makufuru?+ Ni nani anayeweza kusamehe dhambi ila Mungu peke yake?”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki