Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 32:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Mwishowe niliungama dhambi yangu kwako, wala sikufunika kosa langu.+

      Nilisema: “Nitaungama makosa yangu kwa Yehova.”+

      Nawe mwenyewe ukanisamehe kosa la dhambi zangu.+ Sela.

  • Zaburi 103:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Yeye anayesamehe makosa yako yote,+

      Anayeponya magonjwa yako yote,+

  • Zaburi 130:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Kwa maana kwako wewe kuna msamaha wa kweli,+

      Ili upate kuogopwa.+

  • Isaya 1:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 “Sasa, njooni, nasi tunyooshe mambo kati yetu,” asema Yehova.+ “Hata dhambi zenu zikiwa nyekundu, zitafanywa kuwa nyeupe kama theluji;+ hata zikiwa nyekundu kama kitambaa chekundu; zitakuwa kama sufu.

  • Isaya 43:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 “Mimi—mimi ndiye Yeye anayefuta+ makosa+ yako kwa ajili yangu mwenyewe,+ na dhambi zako sitazikumbuka.+

  • Danieli 9:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Kwake Yehova Mungu wetu, kuna rehema+ na msamaha,+ kwa maana tumemwasi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki