Marko 5:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 Lakini Yesu akasikia yaliyokuwa yakisemwa, akamwambia ofisa-msimamizi wa sinagogi: “Usiogope, uwe tu na imani.”+ Yohana 11:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Yesu akamwambia: “Mimi ndiye ufufuo na uzima.+ Yule anayeniamini, hata akifa, atarudi kwenye uzima;+ Waroma 4:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 kama ilivyoandikwa: “Nimekuweka wewe kuwa baba ya mataifa mengi.”)+ Hili lilikuwa machoni pa Yule ambaye katika yeye alikuwa na imani, ndiyo, machoni pa Mungu, anayewafanya wafu kuwa hai+ na kuyaita mambo yasiyokuwako kana kwamba yamekuwako.+
36 Lakini Yesu akasikia yaliyokuwa yakisemwa, akamwambia ofisa-msimamizi wa sinagogi: “Usiogope, uwe tu na imani.”+
25 Yesu akamwambia: “Mimi ndiye ufufuo na uzima.+ Yule anayeniamini, hata akifa, atarudi kwenye uzima;+
17 kama ilivyoandikwa: “Nimekuweka wewe kuwa baba ya mataifa mengi.”)+ Hili lilikuwa machoni pa Yule ambaye katika yeye alikuwa na imani, ndiyo, machoni pa Mungu, anayewafanya wafu kuwa hai+ na kuyaita mambo yasiyokuwako kana kwamba yamekuwako.+