Zaburi 37:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Nilikuwa kijana, pia nimezeeka,+Na bado sijamwona mtu yeyote mwadilifu akiwa ameachwa kabisa,+Wala uzao wake ukitafuta mkate.+ Isaya 51:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 “Yeye anayeinama katika minyororo hakika atafunguliwa haraka,+ ili asiende katika kifo shimoni+ na ili mkate wake usikosekane.+
25 Nilikuwa kijana, pia nimezeeka,+Na bado sijamwona mtu yeyote mwadilifu akiwa ameachwa kabisa,+Wala uzao wake ukitafuta mkate.+
14 “Yeye anayeinama katika minyororo hakika atafunguliwa haraka,+ ili asiende katika kifo shimoni+ na ili mkate wake usikosekane.+