Mathayo 27:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Walipokuwa wamemtundika mtini+ wakagawa mavazi yake ya nje+ kwa kupiga kura,+ Marko 15:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Nao wakamtundika mtini na kugawa mavazi yake ya nje+ kwa kupiga kura juu yake kuhusu nani achukue nini.+ Luka 23:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 [[Lakini Yesu alikuwa akisema: “Baba, wasamehe,+ kwa maana hawajui wanalofanya.”]] Zaidi ya hayo, ili kugawa mavazi yake, wakapiga kura.+
24 Nao wakamtundika mtini na kugawa mavazi yake ya nje+ kwa kupiga kura juu yake kuhusu nani achukue nini.+
34 [[Lakini Yesu alikuwa akisema: “Baba, wasamehe,+ kwa maana hawajui wanalofanya.”]] Zaidi ya hayo, ili kugawa mavazi yake, wakapiga kura.+