17 roho ya ile kweli,+ ambayo ulimwengu hauwezi kuipokea,+ kwa sababu hauioni wala kuijua. Ninyi mnaijua, kwa sababu hiyo hukaa pamoja nanyi na imo ndani yenu.+
18 huku tukiendelea kukaza macho yetu, si juu ya vitu vinavyoonekana, bali juu ya vitu visivyoonekana.+ Kwa maana vitu vinavyoonekana ni vya muda,+ lakini vitu visivyoonekana ni vya milele.+
3 Kwa maana sisi ndio wenye tohara ya kweli,+ ambao tunatoa utumishi mtakatifu kwa njia ya roho+ ya Mungu nasi tunajisifu katika Kristo Yesu+ na hatuna uhakika wetu katika mwili,+