Danieli 12:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 “Na wale walio na ufahamu watang’aa kama mwangaza wa anga;+ na wale wanaoleta wengi kwenye uadilifu,+ watang’aa mpaka wakati usio na kipimo, milele kama nyota. 1 Wakorintho 3:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Basi yeye anayepanda na yeye anayetia maji ni kitu kimoja,+ lakini kila mtu atapokea thawabu yake mwenyewe kulingana na kazi yake mwenyewe.+ 2 Yohana 8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Jihadharini, msije mkapoteza mambo ambayo sisi tumefanya kazi ili kuyatokeza, bali mpate thawabu kamili.+
3 “Na wale walio na ufahamu watang’aa kama mwangaza wa anga;+ na wale wanaoleta wengi kwenye uadilifu,+ watang’aa mpaka wakati usio na kipimo, milele kama nyota.
8 Basi yeye anayepanda na yeye anayetia maji ni kitu kimoja,+ lakini kila mtu atapokea thawabu yake mwenyewe kulingana na kazi yake mwenyewe.+
8 Jihadharini, msije mkapoteza mambo ambayo sisi tumefanya kazi ili kuyatokeza, bali mpate thawabu kamili.+