Kumbukumbu la Torati 18:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Nabii kutoka katikati yako mwenyewe, kutoka kwa ndugu zako, kama mimi, ndiye ambaye Yehova Mungu wako atakuinulia—ninyi mnapaswa kumsikiliza yeye+— Yohana 6:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Kwa hiyo watu hao walipoona ishara alizofanya, wakaanza kusema: “Kwa hakika huyu ndiye nabii+ aliyepaswa kuja ulimwenguni.” Yohana 7:40 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 40 Kwa hiyo baadhi ya umati ambao walisikia maneno hayo wakaanza kusema: “Kwa hakika huyu ni Yule Nabii.”+ Matendo 3:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Kwa kweli, Musa alisema, ‘Yehova Mungu atawainulia kutoka kati ya ndugu zenu nabii kama mimi.+ Msikilizeni huyo kulingana na mambo yote anayowaambia ninyi.+
15 Nabii kutoka katikati yako mwenyewe, kutoka kwa ndugu zako, kama mimi, ndiye ambaye Yehova Mungu wako atakuinulia—ninyi mnapaswa kumsikiliza yeye+—
14 Kwa hiyo watu hao walipoona ishara alizofanya, wakaanza kusema: “Kwa hakika huyu ndiye nabii+ aliyepaswa kuja ulimwenguni.”
40 Kwa hiyo baadhi ya umati ambao walisikia maneno hayo wakaanza kusema: “Kwa hakika huyu ni Yule Nabii.”+
22 Kwa kweli, Musa alisema, ‘Yehova Mungu atawainulia kutoka kati ya ndugu zenu nabii kama mimi.+ Msikilizeni huyo kulingana na mambo yote anayowaambia ninyi.+