21 Yesu akajibu, akawaambia: “Kwa kweli ninawaambia ninyi, Ikiwa tu mna imani nanyi msitie shaka,+ hamtafanya nililofanya kwa mtini huo tu, bali pia mkiuambia mlima huu, ‘Ondoka, ukatupwe baharini,’ jambo hilo litatukia.+
8 lakini mtapokea nguvu+ wakati roho takatifu itakapofika juu yenu, nanyi mtakuwa mashahidi+ wangu katika Yerusalemu+ na pia katika Yudea yote na Samaria+ na mpaka sehemu ya mbali zaidi ya dunia.”+
23 bora tu, bila shaka, mwendelee katika imani,+ mkiwekwa imara juu ya msingi+ na mkiwa thabiti+ na bila kuondoshwa kwenye tumaini la ile habari njema mliyoisikia,+ na ambayo ilihubiriwa+ katika uumbaji wote+ ulio chini ya mbingu. Mimi Paulo, nilikuja kuwa mhudumu wa hii habari njema.+