Mathayo 8:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Kwa hiyo akaugusa mkono+ wake, na homa ikamwacha, naye akasimama na kuanza kumhudumia.+ Yohana 5:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Yesu akamwambia: “Simama, chukua kitanda chako, utembee.”+ Matendo 9:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Naye Petro akamwambia:+ “Ainea, Yesu Kristo anakuponya wewe.+ Simama, utandike kitanda chako.” Naye akasimama mara moja. Matendo 14:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 akasema kwa sauti kubwa: “Simama wima kwa miguu yako.” Naye akaruka na kuanza kutembea.+
34 Naye Petro akamwambia:+ “Ainea, Yesu Kristo anakuponya wewe.+ Simama, utandike kitanda chako.” Naye akasimama mara moja.