Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Danieli 6:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Ndipo mfalme akatoa amri, nao wakamleta Danieli na kumtupa ndani ya shimo la simba.+ Mfalme akamwambia Danieli: “Mungu wako, ambaye unamtumikia daima, yeye mwenyewe atakuokoa.”+

  • Matendo 5:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Lakini wakati wa usiku malaika+ wa Yehova akaifungua milango ya gereza,+ akawatoa nje na kusema:

  • Matendo 23:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Lakini usiku uliofuata Bwana akasimama kando yake+ na kusema: “Jipe moyo!+ Kwa maana kama vile ambavyo umekuwa ukitoa ushahidi+ kamili katika Yerusalemu juu ya mambo yanayonihusu, vivyo hivyo utatoa ushahidi katika Roma pia.”+

  • Waebrania 1:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Je, wao wote si roho+ kwa ajili ya utumishi wa watu wote,+ waliotumwa kuhudumu kwa ajili ya wale watakaorithi+ wokovu?

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki