Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 37:39
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 39 Nao wokovu wa watu waadilifu ni kutoka kwa Yehova;+

      Yeye ni ngome yao wakati wa taabu.+

  • Zaburi 91:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Kwa sababu ameweka upendo wake juu yangu,+

      Mimi nitamwokoa pia.+

      Nitamlinda kwa sababu amelijua jina langu.+

  • Zaburi 118:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Kutoka katika hali zenye kutaabisha nilimwitia Yah;+

      Yah akanijibu na kuniweka katika mahali penye nafasi pana.+

  • Isaya 41:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Usiogope, kwa maana mimi nipo pamoja nawe.+ Usitazame huku na huku, kwa maana mimi ni Mungu wako.+ Nitakutia nguvu.+ Nitakusaidia kwelikweli.+ Nitakushika kwelikweli kwa mkono wangu wa kuume+ wa uadilifu.’+

  • Isaya 43:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Ukipita katikati ya maji,+ nitakuwa pamoja nawe;+ na katikati ya mito, haitafurika juu yako.+ Ukitembea katikati ya moto, hutaungua, wala mwali wa moto hautakuchoma.+

  • 2 Wakorintho 1:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Kutoka katika kitu kikubwa sana kama kifo alituokoa naye atatuokoa;+ na tumaini letu limo katika yeye kwamba atatuokoa zaidi pia.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki