10 Usiogope, kwa maana mimi nipo pamoja nawe.+ Usitazame huku na huku, kwa maana mimi ni Mungu wako.+ Nitakutia nguvu.+ Nitakusaidia kwelikweli.+ Nitakushika kwelikweli kwa mkono wangu wa kuume+ wa uadilifu.’+
2 Ukipita katikati ya maji,+ nitakuwa pamoja nawe;+ na katikati ya mito, haitafurika juu yako.+ Ukitembea katikati ya moto, hutaungua, wala mwali wa moto hautakuchoma.+